|
|
Imam Mahdiy ni Imamu wa kumi na mbili na ni Imamu wa mwisho katika madhehebu ya mashia, Imam Mahdiy amezaliwa siku ya Ijumaa mwezi wa shabani katika mwaka 255 hijria Qamaria, (868 miyladiy) katika mmoja wa mitaa ya nchi ya Irak unaojulikana kwa jina la Samarraa.
|